Eeh lady S, colabo na pili pili.hii ngoma ni ya wahuni,watu wa kuhanyahanya.wakiniona wanainuka.
Ukimwona mwambie namtaaka,
Ukimwona mwambie na msaaka,
Ukimwona mwambie namhata
Ndio ajue na mpenda
Ukimwona aah *3
Mtoto nakuomba nisamehe,
Kwa kutangatanga kama mwewe,
Usiniache mama
Nitaumia mtoto na njeve,
Unajifanya mpoa na hata huna mwere moja
Una hanyahanya huku na kule ati mimi nakungoja,
Unaniseduce ati tutastay pamoja,
Naulikuwa unahanya ule beste wangu wa Umoja,
Sihatajuzi maboyz walikucheki na manzi fulani mtaani,
Nakila wakati unanipa date unaosha masahani,
Fatum
Recent comments
3 hours 22 min ago
3 hours 58 min ago
5 hours 38 min ago
6 hours 31 min ago
12 hours 24 min ago
12 hours 30 min ago
12 hours 46 min ago
12 hours 56 min ago
18 hours 4 min ago
18 hours 11 min ago