Chorus
Anita, Anita wangu, hey lele lilei iyeeee iyee
Ei sukuma sukuma, ili siku ziende
Urudi nyumbani tuishi pamoja
Verse - Matonya
Nasikia mazoea yanatabu, leo ndio naamini
Tangu uondoke Anita raha nakosa mimi
Ukumbuka tulilishana yamini
Kwamba mimi na wewe
Maisha milele mpaka nafukiwa chini
Ni mawazo yanautesa moyo wangu Anita nielewe
Natamani uyajue ili unilinde mimi
Sijajua uliwaza nini Anita kuwa mbali na mimi
Hata hilo nilijue ili nisaishe mimi
Kama ni maradhi, mimi ndio wako nakitari
Unambie mapema ili dawa yake niijue
Kama ni waradhi
Chorus
Machoni kama watu
Mioyoni hawana utu
Imani imetoweka
Mabaya yanaongezeka
Verse 1
Wengi wao wanatabasamu, wanaongea kwa nidhamu
Wanajifanya watu wa karib kumbe hao ndo sumu
Wameweka mbele dini fungo moyo usiwaamini
(Si unakumbuka alikufaa kwa dhiki)
Kweli
(Enzi zile upo nae marafiki)
Aha, yuko wapi sasa hayupo tena ashasaliti
Kweli akufaae kwa dhiki mara nyingine ni msaliti
Alishatembea na mkeo kwa gia ya urafiki
Shoga yako kwako habanduki mmeo akakutaliki
Unajuta ye anacheka kwani ndoa keshaivuruga
Mmeo ametimua ye keshatawala nyumba
Chorus
Siwema usinipe mateso ya moyo
Na sasa nimechoka ukweli nasema
Siwema usinipe mateso ya moyo
Na sasa nimechoka ukweli nasema
Verse
Nimepali nimepata mpenzi wa kweli
Nakupe umenipa tigana na mambo ya ja kuku
Nia na madumu niako nimeshabi wasi wema siwema kaka
Siwema kaka, ah ah ah
Kuna jitapa bele ya rafiki zako
Wawa mimi sina la yako
Umeniweka kwenye kiganja mama
Kunalo taka nilo ninafanya sababu wewe
Mimi mzuri sana
Siwezi kupata mwengine kama wewe
Siwema kaka, unaji da gana
Wema wangu leo ulio niokokoza
Waliwa zote, ume kwako n
Chorus
Jua kwamba wewe ndio wangu
Baridi ya roho 'seisha na hamu
Sura yako dawa kwangu
Raha za pungu' kando zangu [Not really sure what this means]
Mahaba yako ndio tiba yangu
Nyota yako yang'ara yangu
Hebu tathmini kisha nipe jibu
'vi kwanini hutaki kunijibu
Mitihani yote nimeshinda
Nadhani ni wakati
Penzi letu sisi liwe wazi
Roho yangu inauma (a lady helps co-sing this line)
Maumivu sasa basi
Sasa basiiiii
Ni kwa thabiti nielewe
Pesa sio mapenzi...
Pesa sio mapenzi...
Kwa utenzi huu
Nielewe baby
Nakuhitaji mpenzi
Wewe nd'o faraja yangu
Wewe nd'o f
Chorus
Hey hey hello maa
Laiti ningekuwa unaniona
Vile kila time nakonda nawaza
Kama kukupata nitaweza
Jinsigani kukueleza
Ao, uziku bembeleza
Usinikatae utaniumiza
Nakupenda kukutenda sitowdza
Verse
Kila time nakuangalia usoni maa
Sio kamaa nakosa neno kusema
Ulivyo maaunafanya kosa kunena
Ingawa moyo hautaki kunena tena
Wazo kichwani lina beep (kukueleza)
Ilavibaya ukinijibu (bembeleza)
Nahisi sijui bembeleza
Utakataa halafu mi utaniumizaa
Kidesign nakuangalia usoni maa
Kuna sign za kuita huko machoni maa
Kitu fulani umehifadhi huko moy
Nilimkuta Leah amejilaza
Chini kwenye kituo cha wamataa
Huku ngozi yake maji ya kunde
Imegeuka ya majani isiyopendeza
Unafanya nini nikamuliza ?
Akanijibu anaumwa na pia ana njaa
Msichana wa miaka wa kumi na tisa
Kumbe alikuwa amesha hadhirika
Nikampeleka duka la madawa
Hili kidonge kidogo imweke sawa
Kwani alikuwa na fungus mwili mzima
Ikambidi anihadhithia stori nzima
Akaanza kuniadhithia kwa huruma
Kwamba siku mmoja alikuwa anatoka shuleni
Siku hiyo njaa ilimtawala
Akotokea dereva wa daladala
Akamwambia Leah Lifti panda mbele
Japo mwanafunzi akae kiti cha mbele
Tena bila m
Chorus
Usishangae usione hatari (vijimamabo)
vipo hivi kila siku (vijimambo)
mjomba wewe vimekukuta? (vijimambo)
hivi nani...............vijimambo
Verse 1
Si muda mrefu sana toka nimalize shule/
bado nahangaika mambo yangu yatulie/
kula kulala kwa baba kuwa napenda/
ni vile mtandao bora wa maisha sijaujenga/
(anyway) mtaani kuna binti kanichengua/
na kwa utajiri wangu wa sera wimbo atautambua/
Uwaridi u mzima?
Recent comments
1 hour 20 min ago
8 hours 48 min ago
11 hours 26 min ago
13 hours 16 min ago
14 hours 15 min ago
18 hours 35 min ago
19 hours 3 min ago
20 hours 45 min ago
1 day 1 hour ago
1 day 1 hour ago