Chorus
Anita, Anita wangu, hey lele lilei iyeeee iyee
Ei sukuma sukuma, ili siku ziende
Urudi nyumbani tuishi pamoja
Verse - Matonya
Nasikia mazoea yanatabu, leo ndio naamini
Tangu uondoke Anita raha nakosa mimi
Ukumbuka tulilishana yamini
Kwamba mimi na wewe
Maisha milele mpaka nafukiwa chini
Ni mawazo yanautesa moyo wangu Anita nielewe
Natamani uyajue ili unilinde mimi
Sijajua uliwaza nini Anita kuwa mbali na mimi
Hata hilo nilijue ili nisaishe mimi
Kama ni maradhi, mimi ndio wako nakitari
Unambie mapema ili dawa yake niijue
Kama ni waradhii iiiiiie
Anita
Repeat Chorus ![]()
Verse - Lady Jaydee
Unajua nilikupendaa zaidi
Ila ya dunia we yalikuzidi
Nilitamani kuwa nawe zaidi
Kuliko yoyote unayemdhani
Siku zote uko safarini kuniacha mimi upweke
Mimi nilikupena sana we mpenzi
Je kweli wataka kunienzi
Au unataka kunitia mi mashakani
Verse - Matonya
Siku zote nipo kama chizi, ni yangu njiani naongea
Hiyo yote sababu yako anita kilio pokea
Chifu na majirani mtani wanakuulizia
Sina la kuwajibu nabaki kama chichi najililia
Waliniambia nikuache wewe
Ili mimi niishi mwenyewe
Masikio nikaziiba, vipi niishi bila wewe
Wakasema hutonisamini, wala haikuniingia akilini
Gozi, gita wakapiga jua wewe ndio wa maishani
Anita wewe umeumbika mama
Kila upitapo nyuma malawama
Sijiwezi mtoto wa kitanga
Kwako taabani nimeshamwaga manyanga
Anita wewe umeumbika mama
Kila upitapo nyuma malawama
Sijiwezi mtoto wa kitanga kwako taabani.
Repeat Chorus till fade
© Matonya
Watch the Anita video featuring Matonya and Lady Jaydee
Produced by Mandugu Digital/41 Records
Lyrics edited and done with help of A.K.A of Chizika












kibao kizuri kupindukia, mimi nasifia kweli.Endelea na sanaa yako bwana
Matonya nakupendaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
nakupenda sana matonya na lady jaydee u both have manufactured a song for the ages
bongo everydayyyyy
we need you to come perform in the states you have a lot of fanz here
the big hit in bongo this summer together with binti kiziwi!
Bongo is the place to be in Africa
i love this song very much but i dont understand it, may you translate it for me?
its really great song but someone translate it please !!
anita, anita wangu,, hahaha
iam a filipino,,
i dont understand this music,,,
but for me ,, this is Great..
two thumbs up !!
kip it up ! Motanya !!
Post new comment