
Enable Javascript and Adobe Flash player in your browser to browse the full media gallery
Kwaheri 2x
Verse 1 - Jua Cali
Kwani nimewekewa madawa, siwezi kukuacha
Kila mahali unaenda mi nakufuata
Siogopi kukuambia, mi nakupenda
Watu wa wivu nao zao ni kusemasema
Huyo manzi alinipigia simu mi hata simjui
Mi nimekuwa studio, ati tulikuwa naye wapi juzi
Hizo ni uwongo na unajua
Mlango yangu iko wazi, we ukitaka kurudi nimeifungwa
Unasema hapana, hapana
Huku ukilia mi navumilia
Mi nakazana, nakazana
After hii yote, siamini bado unawezaniambia…
Chorus 2x – Sanaa
Nakuaga mi kwaheri
Nami ninakutakia la heri
Kukupenda mi siwezi
Jamani, mpenzi kwaheri
Verse 2 - Jua Cali![]()
Ninashughulika kila kitu yangu irudi fiti
Vile ulipotea tu, watu mtaani wakafikiria nimechizi
Silali, kusema ukweli sikuli
Kejani bana hata siku hizi hata situlii
Nipige makofi labda naota
Ama nikuache, pia naskia ni kama nimechoka
Kujitetea pali niko au pali siko
Nasi tumetupa, miaka sita hivyo
Unasema hapana, hapana
Huku ukilia mi navumilia
Mi nakazana, nakazana
After hii yote, siamini bado unawezaniambia…
Repeat Chorus - Sanaa
Verse 3 - Jua Cali
Hasira ni ya nini, bana tulia
Biashara yetu bado mi nimeishikilia
Na nguvu yangu yote, naweza
Pesa zako kuna mali poa nimeiweka
Unaweza chuna kadhaa ukitaka
Zile zitabaki, nunua nazo shamba
Lazima tufikirie maisha yetu ya mbele
Sio kila siku kelele kelele
Bridge - Sanaa
Tukiwa na wewe
Mambo yako yenda kombo
Japo nisonge hapo, matatizo yako yakoma
Repeat Chorus 4x - Sanaa
Repeat Bridge - Sanaa
Repeat Chorus 2x - Sanaa
© Jua Cali
Watch the Kwaheri video by Jua Cali
| Related | |
|---|---|
| Museke African artistes | Jua Cali1 |
| Museke African song lyrics | Si Kupenda Kwangu2, Kiasi3, Ngeli ya genge4, Mabeste damu5 |
Produced by Calif Records (Clemo)












Thank you so much for finally getting us the lyrics
Jua Cali is the best rapper in Kenya and he would show the rest of Africa how good he is.
Calif all day!
Post new comment