Kuna dawa - Museke African song lyrics

Enable Javascript in your browser to browse the full media gallery
Chorus
Kuna dawa, Kuna dawa (4x)
Verse 1 2x
Nayatangazia Mmataifa
Kuna dawa na waipokee
Dawa nii Kumpokea Yesu
Ooh Kuna dawaa
Chorus
Kuna dawa, kuna dawa ad lib
Dawa nii Yesu
Mpokee leo
Kuna dawa
Naitangaza dawaa
Halleluya
Dawa, dawa, dawa (3x)
Verse 2 (2x)
Pokea dawa bila malipo
Yaponya roho napia mwili
Yao ndoa dhiki na laana
Ooh, kuna dawa
Chorus
Kuna dawa, kuna dawa ad lib
Kuna dawa
Yesu ndiye dawa
Pokea dawa
Kuna dawa, kuna dawa
Kuna dawa
Pokea dawa yake
Kuna dawa, kuna dawa
Yesu
Nawasihi
Kuna dawa, kuna dawa
Munywe dawa
Verse 3 2x
Nawasihi wote munywe dawa
Wazee kwa vijana tunywe dawa
Watoto pia wapewe dawa
Ooh, kuna dawa
Chorus
Kuna dawa, kuna dawa ad lib
Kuna dawa
Natangagaza Kwa Mataifa
Yesu ndiye dawa
Hakuna hakuna hakuna fundisho
Linginee
Dawa ndio wahitaji Mama
Ikubali
Ikubali hii
Dawa Dawa Dawa
Kuna dawa, kuna dawa
Vijana Munywe Dawa Nina
Tangazaa
Kuna dawa, kuna dawa
Msife Mwoyo
Ooh Mama
Usife Mwoyo
Kuna dawa, kuna dawa
© Esther Wahome
Watch the Kuna dawa video by Esther Wahome
Produced by AI Records










kuna dawaaa, kuna dawa
kuna dawaaa, kuna dawa
this song makes me happy
Thank you Esther for this song!
It is quite exciting how Kenya music is crossing the borders and appearing in international chats. Kenya artist like Esther Wahome of "kuna dawa" are a living proof of the endowment that Kenya posesses in terms of talent.
Post new comment