
Enable Javascript and Adobe Flash player in your browser to browse the full media gallery
Chorus
Siwema usinipe mateso ya moyo
Na sasa nimechoka ukweli nasema
Siwema usinipe mateso ya moyo
Na sasa nimechoka ukweli nasema
Verse
Nimepali nimepata mpenzi wa kweli
Nakupe umenipa tigana na mambo ya ja kuku
Nia na madumu niako nimeshabi wasi wema siwema kaka
Siwema kaka, ah ah ah
Kuna jitapa bele ya rafiki zako
Wawa mimi sina la yako
Umeniweka kwenye kiganja mama
Kunalo taka nilo ninafanya sababu wewe
Mimi mzuri sana
Siwezi kupata mwengine kama wewe
Siwema kaka, unaji da gana
Wema wangu leo ulio niokokoza
Waliwa zote, ume kwako ni kukuwe
Malipo yake, ulifanya mji ga koko
Ao yote, nimako za yangu
Lakini sasa nimejifunza soda na makosa
Jia kusha na we mama a
Hook 2x
Nimezunguka Tanzania bara
Unguja na pemba nimefika
Nimewaona vijana wenye sifa
Wenye kujipamba waka pambika
Kwa hivyo nie, leo brother
Sibabaishwi na sura napenda tabia njema (loop)
Sibabaishwi na sura yako
Usifikiri mimi rimbukeni sana
Lilikupenda ki mapenzi
Ukaniona ni mimi suga mami lako
Tabia njema ndio siraha kwako
Kila mtu watakupenda ....
© Lady Jaydee












ahsante
thank you so much for the Siwema lyrics
It's a beautiful song from a beautiful singer
Post new comment