Jose Chameleone - Museke African song lyrics

The Museke project seeks to be the biggest database of African music lyrics, songs, and information. See more at our about page

This is a list of songs on Museke.com. They are arranged alphabetically by song name. Click on a letter of the alphabet to access the songs which begin with that letter.

For instance, you can also type http://www.museke.com/all/song/kofi to access songs for musicians called Kofi

You can also search by country and artiste at the artistes page

Editors enoch
Jump to Musician >> a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 1 2 3 4 5 6 7 8 9 Help
Page1

Ba yuda

Tagged:  •    •    •    •    •  
Ba yuda

Ekiddibwamu
Bayuda tuyita nabo,……..Nabo
Abalala tuseka nabo,……… Nabo
Olw’ekisa tugabana nabo,…Nabo

Tubamanyi butabagamba.

Verse 1
Kiruma nga gw’oyita mukwano gwo ennaku yo agifudde essanyu, obadde omwesiga, abadde akweyuna, bambi buli lw’abadde mu nnaku.
Kati lupiiya amusingidde omukwano,
mubadde bataayi naye kati kacwano,
ekinneewuunyisa, bannaffe abatusuuta, tebandibadde abo ate ne batutunda.
Toggwamu ssuubi be yalyanga nabo ku mmeeza baamutunda abiri gokka aga feeza.

Basima Ogenze (Jose Chameleone)

Tagged:  •    •    •    •  
Basima Ogenze (Jose Chameleone)

Basima ogenze (Jose Chameleone)

Tagged:  •    •    •  
Basima ogenze (Jose Chameleone)

bulungi

wanadamu

Bei kali

Tagged:  •    •    •    •    •  
Bei kali

Chorus
Anapenada Vitu vya bei kali
kama hajui ati sina mali
Ananiomba vitu vya bei kali
Nikiwa sina yeye hanijali

Verse 1
Kutano lakwanza ilikua Mombasa
Rohoni nilisikia nimempata sasa
Kumbe hata yeye Alininoki pia
Jioni tukaenda pamoja out for a beer
Nilishanga alinza kuomba whisky
Na vinyaji vya bei bila kua tipsy
Niliamua twenda dance floor tucheze
Akakata ati hapendi nyimbo za lingala

Repeat Chorus

Verse 2
Siku nyingine alikuja kampala
Tuka'anza kutafuta hotel ya kulala
Nikampeleka hotel inje ya Ka

Jamila

Tagged:  •    •    •    •    •    •    •  
Jamila

Verse 1
Muda Mrefu Jamila hatuonani
Penzi gani imekuleta kwangu nyumbani
Karibu nikupe kiti,Unielezee nini mama
Jamila alipokaa aka'anza kulia
Oh nakushindwa kuongea
Ata mimi mwenyewe nikaumia kumouna akilia

Chorus 2x
Jamila analia, bwana wake amemuwacha
Jamila analia, bwana wake amemutupa

Verse 2
Jamila aliponza kuongea
Aliongea na maumivu mingi
Navile aliku anaongea
Nikamuonea uruma
Ati walianza penzi bora
Siku zingine harudi nyumbani
Kumuuliza kama amepata mwengine
Akamfungia virago

Repeat Chorus 2x

Katupakase (tukole)

Tagged:  •    •    •    •    •    •    •    •    •  
Katupakase (tukole)

Verse 1
Katupakase, anti lupiya ndaba ne gyetuvudde wala
Kyetulumiririrwa bitone mwekyo mwe bwtuyimbira ubayimbire ebizimba
Atenga tukolelela gwanga Uganda abaliba abalamu mutusomeko mu birirangwa
Tudaaga na dunia, nga tuzaaye amabujje gaffe tegalya amagumba
Tudaaga na dunia, nga tuzaaye amabujje gaffe tegabulwa obutuuliro
Baganda bange tukole namanyi tukolwe obutaweera ebyokunyooma emirimu bya kileela
Tukole namanyi obutaweela ebyokunyoma emirimu byakileela

Chorus
Tupatikanira kuba bulungi netufubba ne tufungiza okuba obulungi
Netutoba olwokuba am

Kipepeo

Tagged:  •    •    •    •    •    •  
Kipepeo

Skipe Kipe kipe
Kipe Kipe kipe (3x)
skipe Kipe kipe
Kipe Kipe kipe (3x)

Hook
Guno gwenkubye (Leero!)
Bakadde nabato basituke (Leero!)
Guno gwenkubye (Leero!)
Abebiwato kabasituke (Leero!)

Chorus 2x
Ay Mama ekipepeo oh
Kipepeo oh oh oh kipepeo ohh!
Ay Mama ekipepeo oh
Kipepeo oh oh oh kipepeo ohh!

Mama Rhoda

Tagged:  •    •    •    •    •    •    •  
Mama Rhoda

Akomawo mwenda (Mama Rhoda)
Oluusi natadda (Mama Rhoda)
Akomawo mwenda (Mama Rhoda)
Oluusi natadda (Mama Rhoda)

Verse 1 (Bushoke)
Ata kama ungekua hunpendi mimi, ungenieleza
Kuliko kuniacha hivi maskini, ninateseka
Rhoda analia, anasema umemuacha
Na mimi ninalia, Mama Rhoda umenitupa!

Chorus 2x
Mama Rhoda, umeniacha ah
Mama Rhoda, utanikumbuka ah

Verse 2 (Chameleone)
Ungesema nijue kosa langu
Kuliko kuniacha hapa peke yangu
Myaka mingi nafikiri wewe wangu
Kumbe unapoteza muda wangu
Sikiliza!
Rhoda nimedata
Nitakupa una

Nkwagala Nyo

Tagged:  •    •    •    •  
Nkwagala Nyo

Chameleone come back again o

Sivyo Ndivyo

Tagged:  •    •    •    •    •    •    •    •    •    •    •  
Sivyo Ndivyo

Chorus
Unavyodhani Ndivyo sivyo maisha ni safari sio kua na
(likizo)
Nalikizo yo yo!
Naongeza msistizo tena usimsahau mtu mwenye matatizo
(Mama yo yo)
Wangapi walikua nazo nasasa hawana tena wamebaki naviulizo
(Vingi Viulizo)
walioitwa maskini leo wamezipata imekua ndivyo sivyo
(Ndivyo sivyo sivyo ndivio)

Verse 1 (Professor Jay)
Eh!